Enock Maregesi quote ✍️

Quote

Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.
Enock Maregesi adversity anger bitterness blessings bwana

Similar Crossword Answers

Answer Clues
GOOD 438 clues
GOD 420 clues
ENEMY 404 clues
LORD 397 clues
WATER 339 clues
ANGER 330 clues
CHAOS 297 clues
FOOD 231 clues
ADVERSITY 185 clues
HATRED 183 clues
FAITH 174 clues
BATTLE 148 clues
DOCTRINE 143 clues
HEAVEN 141 clues
WISDOM 134 clues
HUNGER 126 clues
CRUELTY 120 clues
SHARI 118 clues
DEVELOPMENT 116 clues
REVENGE 101 clues
Often perfumed powder
?
T
?
A
?
L
?
C
Hint 1 meaning
A soft mineral of a soapy feel and a greenish, whitish, or grayish color, usually occurring in foliated masses. It is hydrous silicate of magnesia. Steatite, or soapstone, is a compact granular variety.
Hint 2 anagram
CATL
Hint 3 another clue
BABY DOCTOR FOR SHORT
8 +1

New Crossword Suggestion

Clue
Answer (solution)